Psalms 139:1-4

Mungu Asiyeweza Kukwepwa

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

1 aEe Bwana, umenichunguza
na kunijua.
2 bUnajua ninapoketi na ninapoinuka;
unatambua mawazo yangu tokea mbali.
3 cUnafahamu kutoka kwangu na kulala kwangu;
unaelewa njia zangu zote.
4 dKabla neno halijafika katika ulimi wangu,
wewe walijua kikamilifu, Ee Bwana.
Copyright information for SwhNEN